Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 57:21 - Swahili Revised Union Version

21 Hapana amani kwa waovu; asema Mungu wangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Mungu wangu asema hivi: “Watu waovu sitawapa amani.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Mungu wangu asema hivi: “Watu waovu sitawapa amani.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Mungu wangu asema hivi: “Watu waovu sitawapa amani.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Mungu wangu asema, “Hakuna amani kwa waovu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Mungu wangu asema, “Hakuna amani kwa waovu.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Hapana amani kwa waovu; asema Mungu wangu.

Tazama sura Nakili




Isaya 57:21
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, Yoramu alipomwona Yehu, akasema, Je! Ni amani, Yehu? Akajibu, Amani gani, maadamu uzinzi wa mama yako Yezebeli na uchawi wake ni mwingi?


Ole wake mtu mbaya; shari itakuwa kwake, kwa maana atapewa malipo ya mikono yake.


Hapana amani kwa waovu, asema BWANA.


Lakini nikasema, Nimejitaabisha bure, nimetumia nguvu zangu bure bila faida; lakini hakika hukumu yangu ina BWANA, na thawabu yangu ina Mungu wangu.


Njia ya amani hawaijui; wala hapana hukumu ya haki katika mienendo yao; wamejifanyia njia zilizopotoka; kila apitaye katika njia hizo hajui amani.


yaani, manabii wa Israeli, watabirio habari za Yerusalemu, na kuona maono ya amani katika habari zake; wala hapana amani, asema Bwana MUNGU.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo