Isaya 49:1 - Swahili Revised Union Version1 Nisikilizeni, enyi visiwa; tegeni masikio yenu, enyi makabila ya watu mlio mbali sana; BWANA ameniita tangu tumboni; toka tumbo la mama yangu amenitaja jina langu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Nisikilizeni, enyi nchi za mbali, tegeni sikio, enyi watu wa mbali! Mwenyezi-Mungu aliniita kabla sijazaliwa, alitaja jina langu nikiwa tumboni mwa mama yangu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Nisikilizeni, enyi nchi za mbali, tegeni sikio, enyi watu wa mbali! Mwenyezi-Mungu aliniita kabla sijazaliwa, alitaja jina langu nikiwa tumboni mwa mama yangu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Nisikilizeni, enyi nchi za mbali, tegeni sikio, enyi watu wa mbali! Mwenyezi-Mungu aliniita kabla sijazaliwa, alitaja jina langu nikiwa tumboni mwa mama yangu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Nisikilizeni, enyi visiwa, sikieni hili, ninyi mataifa mlio mbali: Kabla sijazaliwa, Mwenyezi Mungu aliniita, tangu kuzaliwa kwangu, amelitaja jina langu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Nisikilizeni, enyi visiwa, sikieni hili, ninyi mataifa mlio mbali: Kabla sijazaliwa, bwana aliniita, tangu kuzaliwa kwangu, amelitaja jina langu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI1 Nisikilizeni, enyi visiwa; tegeni masikio yenu, enyi makabila ya watu mlio mbali sana; BWANA ameniita tangu tumboni; toka tumbo la mama yangu amenitaja jina langu. Tazama sura |