Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 41:21 - Swahili Revised Union Version

Haya, leteni maneno yenu, asema BWANA; toeni hoja zenu zenye nguvu, asema mfalme wa Yakobo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenyezi-Mungu, Mfalme wa Yakobo, asema: “Enyi miungu ya mataifa, njoni mtoe hoja zenu!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenyezi-Mungu, Mfalme wa Yakobo, asema: “Enyi miungu ya mataifa, njoni mtoe hoja zenu!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenyezi-Mungu, Mfalme wa Yakobo, asema: “Enyi miungu ya mataifa, njoni mtoe hoja zenu!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenyezi Mungu asema, “Leta shauri lako. Toa hoja yako,” asema Mfalme wa Yakobo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

bwana asema, “Leta shauri lako. Toa hoja yako,” asema Mfalme wa Yakobo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Haya, leteni maneno yenu, asema BWANA; toeni hoja zenu zenye nguvu, asema mfalme wa Yakobo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 41:21
12 Marejeleo ya Msalaba  

Ningemwambia hesabu ya hatua zangu Ningemkaribia kama vile mkuu.


Basi jifunge viuno kama mwanamume, Maana nitakuuliza neno, nawe niambie.


Haya, njoni, tusemezane, asema BWANA. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama damu, zitakuwa kama sufu.


Kwa maana BWANA ndiye mwamuzi wetu; BWANA ndiye mfanya sheria wetu; BWANA ndiye mfalme wetu; ndiye atakayetuokoa.


Nyamazeni mbele zangu, enyi visiwa, na mataifa wajipatie nguvu mpya; na waje karibu wakanene; na tukaribiane pamoja kwa hukumu.


Mimi ni BWANA, Mtakatifu wenu, Muumba wa Israeli, mfalme wenu.


Na wakusanyike mataifa yote, kabila zote wakutanike; ni nani miongoni mwao awezaye kuhubiri neno hili, na kutuonesha mambo ya zamani? Na walete mashahidi wao, wapate kuhesabiwa kuwa na haki; au na wasikie, wakaseme, Ni kweli.


BWANA, Mfalme wa Israeli, Mkombozi wako, BWANA wa majeshi, asema hivi; Mimi ni wa kwanza, na mimi ni wa mwisho; zaidi yangu mimi hapana Mungu.


nitangazaye mwisho tangu mwanzo, na tangu zamani za kale mambo yasiyotendeka bado; nikisema, Shauri langu litasimama, nami nitatenda mapenzi yangu yote.