Isaya 33:22 - Swahili Revised Union Version22 Kwa maana BWANA ndiye mwamuzi wetu; BWANA ndiye mfanya sheria wetu; BWANA ndiye mfalme wetu; ndiye atakayetuokoa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema22 Maana Mwenyezi-Mungu ni hakimu wetu, yeye ni mtawala wetu; Mwenyezi-Mungu ni mfalme wetu, yeye ndiye anayetuokoa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND22 Maana Mwenyezi-Mungu ni hakimu wetu, yeye ni mtawala wetu; Mwenyezi-Mungu ni mfalme wetu, yeye ndiye anayetuokoa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza22 Maana Mwenyezi-Mungu ni hakimu wetu, yeye ni mtawala wetu; Mwenyezi-Mungu ni mfalme wetu, yeye ndiye anayetuokoa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu22 Kwa kuwa Mwenyezi Mungu ni mwamuzi wetu, Mwenyezi Mungu ndiye mtoa sheria wetu, Mwenyezi Mungu ni mfalme wetu, yeye ndiye atakayetuokoa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu22 Kwa kuwa bwana ni mwamuzi wetu, bwana ndiye mtoa sheria wetu, bwana ni mfalme wetu, yeye ndiye atakayetuokoa. Tazama sura |