Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 3:13 - Swahili Revised Union Version

BWANA asimama ili atete, asimama ili awahukumu watu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenyezi-Mungu yu tayari kuanza mashtaka, anasimama kuwahukumu watu wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenyezi-Mungu yu tayari kuanza mashtaka, anasimama kuwahukumu watu wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenyezi-Mungu yu tayari kuanza mashtaka, anasimama kuwahukumu watu wake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenyezi Mungu anachukua nafasi yake mahakamani, anasimama kuhukumu watu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

bwana anachukua nafasi yake mahakamani, anasimama kuhukumu watu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

BWANA asimama ili atete, asimama ili awahukumu watu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 3:13
12 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa ajili ya kuonewa kwao wanyonge, Kwa ajili ya kuugua kwao wahitaji, Sasa nitasimama, asema BWANA, Nitamweka salama yeye wanayemfyonya.


Ee Mungu, usimame, ujitetee mwenyewe, Ukumbuke unavyotukanwa na mpumbavu mchana kutwa.


Mungu asimama katika kusanyiko la Mungu; Katikati ya miungu anahukumu.


Haya, njoni, tusemezane, asema BWANA. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama damu, zitakuwa kama sufu.


BWANA, Bwana wako na Mungu wako, awateteaye watu wake, asema hivi, Tazama, nimeondoa mkononi mwako kikombe cha kulevyalevya, hilo bakuli la hasira yangu; hutalinywea tena;


Kwa maana BWANA atatoa hukumu kwa watu wote kwa moto, na kwa upanga wake, nao watakaouawa na BWANA watakuwa wengi.


Mataifa na wajihimize, wakapande juu katika bonde la Yehoshafati; maana huko ndiko nitakakoketi niwahukumu mataifa yote yaliyo pande zote.


Basi sasa, sikieni asemavyo BWANA; Simama, ujitetee mbele ya milima, vilima navyo na visikie sauti yako.


Sikieni, enyi milima, shutuma ya BWANA, na ninyi, enyi misingi ya dunia iliyo imara; kwa maana BWANA ana shutuma na watu wake, naye atahojiana na Israeli.