Isaya 66:16 - Swahili Revised Union Version16 Kwa maana BWANA atatoa hukumu kwa watu wote kwa moto, na kwa upanga wake, nao watakaouawa na BWANA watakuwa wengi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Mwenyezi-Mungu atatoa hukumu kwa moto, atawaadhibu watu wote kwa upanga; nao atakaowaangamiza watakuwa wengi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Mwenyezi-Mungu atatoa hukumu kwa moto, atawaadhibu watu wote kwa upanga; nao atakaowaangamiza watakuwa wengi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Mwenyezi-Mungu atatoa hukumu kwa moto, atawaadhibu watu wote kwa upanga; nao atakaowaangamiza watakuwa wengi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Kwa maana kwa moto na kwa upanga wake Mwenyezi Mungu atatekeleza hukumu juu ya watu wote, nao wengi watakuwa ni wale waliouawa na Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Kwa maana kwa moto na kwa upanga wake bwana atatekeleza hukumu juu ya watu wote, nao wengi watakuwa ni wale waliouawa na bwana. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI16 Kwa maana BWANA atatoa hukumu kwa watu wote kwa moto, na kwa upanga wake, nao watakaouawa na BWANA watakuwa wengi. Tazama sura |