Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hosea 4:11 - Swahili Revised Union Version

Uzinzi na divai mpya huondoa fahamu za wanadamu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Divai mpya na ya zamani huondoa maarifa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Divai mpya na ya zamani huondoa maarifa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Divai mpya na ya zamani huondoa maarifa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

katika ukahaba; kunywa divai ya zamani na divai mpya huondoa ufahamu

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

katika ukahaba, divai ya zamani na divai mpya, ambavyo huondoa ufahamu

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Uzinzi na divai mpya huondoa fahamu za wanadamu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hosea 4:11
15 Marejeleo ya Msalaba  

Mvinyo hudhihaki, kileo huleta ugomvi; Na akosaye kwa vitu hivyo hana hekima.


Ee Lemueli, kunywa mvinyo hakuwafai wafalme, hakuwafai wafalme; Wala haifai wakuu waseme, Kiko wapi kileo?


Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.


Kweli jeuri humpumbaza mwenye hekima, Na rushwa huuharibu ufahamu.


Lakini hawa nao wamekosa kwa divai, wamepotea kwa kileo; kuhani na nabii wamekosa kwa kileo, wamemezwa kwa divai, wamepotea kwa kileo; hukosa katika maono, hujikwaa katika hukumu.


Na kinubi, na zeze, na matari, na filimbi, na mvinyo, zote ziko katika karamu zao; lakini hawaiangalii kazi ya BWANA wala kuyafikiri matendo ya mikono yake.


Nami nimeona upumbavu katika manabii wa Samaria; walitabiri kwa Baali, wakawakosesha watu wangu Israeli.


Watu wangu hutaka shauri kwa kipande cha mti, na fimbo yao huwatolea uaguzi; maana roho ya uzinzi imewapotosha, wakawacha Mungu wao.


Matendo yao hayatawaacha kumgeukia Mungu wao; maana roho ya uzinzi imo ndani yao, wala hawamjui BWANA.


Naye Efraimu amekuwa kama njiwa mpumbavu, asiye na fahamu; humwita Misri, huenda Ashuru.


Usinywe divai wala kileo chochote, wewe, wala wanao pamoja nawe, hapo mwingiapo ndani ya hema ya kukutania, ili kwamba msife; amri hii itakuwa ni amri ya milele katika vizazi vyenu;


Basi, jihadharini, mioyo yenu isije ikalemewa na ulafi, na ulevi, na masumbufu ya maisha haya; siku ile ikawajia ghafla, kama mtego unasavyo;


Kisha Abigaili alimjia Nabali; na tazama, alikuwa amefanya karamu nyumbani mwake, kama karamu ya kifalme; na moyo wake huyo Nabali ukafurahiwa ndani yake, kwa maana amelewa kabisa. Kwa sababu hiyo hakumwambia neno, dogo wala kubwa, hadi kulipopambazuka.