Methali 20:1 - Swahili Revised Union Version1 Mvinyo hudhihaki, kileo huleta ugomvi; Na akosaye kwa vitu hivyo hana hekima. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Divai huleta dhihaka na kileo huleta ugomvi; yeyote anayevutiwa navyo hana hekima. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Divai huleta dhihaka na kileo huleta ugomvi; yeyote anayevutiwa navyo hana hekima. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Divai huleta dhihaka na kileo huleta ugomvi; yeyote anayevutiwa navyo hana hekima. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Mvinyo ni mdhihaki na kileo ni mgomvi; yeyote apotoshwaye navyo hana hekima. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Mvinyo ni mdhihaki na kileo ni mgomvi; yeyote apotoshwaye navyo hana hekima. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI1 Mvinyo hudhihaki, kileo huleta ugomvi; Na akosaye kwa vitu hivyo hana hekima. Tazama sura |