Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 4:1 - Swahili Revised Union Version

Kisha BWANA akanena na Musa na Haruni, na kuwaambia,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenyezi-Mungu akawaambia Mose na Aroni,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenyezi-Mungu akawaambia Mose na Aroni,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenyezi-Mungu akawaambia Mose na Aroni,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenyezi Mungu akawaambia Musa na Haruni,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

bwana akawaambia Musa na Haruni,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kisha BWANA akanena na Musa na Haruni, na kuwaambia,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 4:1
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Lawi; Gershoni, na Kohathi, na Merari.


Tena, tazama, nimemchagua, awe pamoja naye, huyo Oholiabu, mwana wa Ahisamaki, wa kabila la Dani; nami nimetia hekima katika mioyo ya wote wenye moyo wa hekima, ili wapate kutengeneza vyote nilivyokuagiza;


Hata hivyo watakuwa wahudumu katika patakatifu pangu, wakiwa wasimamizi wa malango ya nyumba, wakihudumu humo nyumbani; watawachinjia watu sadaka za kuteketezwa na dhabihu, nao watasimama mbele yao ili kuwahudumia.


Tena hapo maskani itakapokwenda mbele, Walawi wataishusha; tena hapo maskani itakaposimamishwa, Walawi wataisimamisha; na mgeni atakayekaribia atauawa.


kisha hizo fedha za ukombozi Musa akampa Haruni na wanawe, kama neno la BWANA, kama BWANA alivyomwagiza Musa.


Katika wana wa Lawi uitenge hesabu ya wana wa Kohathi, kwa jamaa zao, na nyumba za baba zao,