Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 46:11 - Swahili Revised Union Version

11 Na wana wa Lawi; Gershoni, na Kohathi, na Merari.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Lawi na wanawe: Gershoni, Kohathi na Merari.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Lawi na wanawe: Gershoni, Kohathi na Merari.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Lawi na wanawe: Gershoni, Kohathi na Merari.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Wana wa Lawi ni: Gershoni, Kohathi, na Merari.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Wana wa Lawi ni: Gershoni, Kohathi na Merari.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Na wana wa Lawi; Gershoni, na Kohathi, na Merari.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 46:11
17 Marejeleo ya Msalaba  

Akapata mimba tena, akazaa mwana, akasema, Basi wakati huu mume wangu ataungana nami, kwa sababu nimemzalia wana watatu. Kwa hiyo akamwita jina lake Lawi.


Na wana wa Simeoni; Yemueli na Yamini, na Ohadi, na Yakini, na Sohari, na Shauli, mwana wa mwanamke Mkanaani.


Na wana wa Yuda; Eri, na Onani, na Shela, na Peresi, na Zera; lakini Eri na Onani walikufa katika nchi ya Kanaani. Na wana wa Peresi, ni Hesroni, na Hamuli.


Hawa ndio wana wa Israeli; Reubeni, na Simeoni, na Lawi, na Yuda, na Isakari, na Zabuloni;


na Nashoni akamzaa Salmoni; na Salmoni akamzaa Boazi;


na dada zao ni Seruya, na Abigaili. Na wana wa Seruya walikuwa, Abishai, na Yoabu, na Asaheli; hao watatu.


Wana wa Lawi; Gershoni, na Kohathi, na Merari.


Hawa ndio vichwa vya nyumba za baba zao: wana wa Reubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli; ni Hanoki, na Palu, na Hesroni, na Karmi; hao ni jamaa za Reubeni.


Na haya ndiyo majina ya wana wa Lawi, kulingana na vizazi vyao; Gershoni, na Kohathi, na Merari; na miaka ya maisha yake Lawi ilikuwa ni miaka mia moja na thelathini na saba.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo