Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 4:1 - Swahili Revised Union Version

1 Kisha BWANA akanena na Musa na Haruni, na kuwaambia,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Mwenyezi-Mungu akawaambia Mose na Aroni,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Mwenyezi-Mungu akawaambia Mose na Aroni,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Mwenyezi-Mungu akawaambia Mose na Aroni,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Mwenyezi Mungu akawaambia Musa na Haruni,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 bwana akawaambia Musa na Haruni,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Kisha BWANA akanena na Musa na Haruni, na kuwaambia,

Tazama sura Nakili




Hesabu 4:1
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Lawi; Gershoni, na Kohathi, na Merari.


Tena, tazama, nimemchagua, awe pamoja naye, huyo Oholiabu, mwana wa Ahisamaki, wa kabila la Dani; nami nimetia hekima katika mioyo ya wote wenye moyo wa hekima, ili wapate kutengeneza vyote nilivyokuagiza;


Hata hivyo watakuwa wahudumu katika patakatifu pangu, wakiwa wasimamizi wa malango ya nyumba, wakihudumu humo nyumbani; watawachinjia watu sadaka za kuteketezwa na dhabihu, nao watasimama mbele yao ili kuwahudumia.


Tena hapo maskani itakapokwenda mbele, Walawi wataishusha; tena hapo maskani itakaposimamishwa, Walawi wataisimamisha; na mgeni atakayekaribia atauawa.


kisha hizo fedha za ukombozi Musa akampa Haruni na wanawe, kama neno la BWANA, kama BWANA alivyomwagiza Musa.


Katika wana wa Lawi uitenge hesabu ya wana wa Kohathi, kwa jamaa zao, na nyumba za baba zao,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo