Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 3:29 - Swahili Revised Union Version

Jamaa za wana wa Kohathi watapiga kambi upande wa kusini wa maskani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Familia za wana wa Kohathi zilitakiwa kupiga kambi yao upande wa kusini wa mahali patakatifu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Familia za wana wa Kohathi zilitakiwa kupiga kambi yao upande wa kusini wa mahali patakatifu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Familia za wana wa Kohathi zilitakiwa kupiga kambi yao upande wa kusini wa mahali patakatifu,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Koo za Wakohathi zilitakiwa kuweka kambi zao upande wa kusini wa Maskani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Koo za Wakohathi zilitakiwa kuweka kambi zao upande wa kusini wa Maskani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Jamaa za wana wa Kohathi watapiga kambi upande wa kusini wa maskani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 3:29
5 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini Walawi watapanga hema zao kuizunguka maskani ya ushahidi pande zote, ili zisiwe hasira juu ya mkutano wa wana wa Israeli; kisha Walawi wahudumu katika hiyo Hema Takatifu.


Upande wa kusini kutakuwa na bendera ya kambi ya Reubeni kwa majeshi yao; na mkuu wa wana wa Reubeni atakuwa Elisuri mwana wa Shedeuri.


Jamaa za Wagershoni wapigavyo kambi nyuma ya maskani, upande wa magharibi.


Kama hesabu ya wanaume wote, kuanzia umri wa mwezi mmoja na zaidi, walikuwa elfu nane na mia sita, wenye kuhudumu katika mahali patakatifu.


Na mkuu wa nyumba ya baba za jamaa za Wakohathi atakuwa Elisafani mwana wa Uzieli.