Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 3:30 - Swahili Revised Union Version

30 Na mkuu wa nyumba ya baba za jamaa za Wakohathi atakuwa Elisafani mwana wa Uzieli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 naye Elisafani, akiwa mkuu wa ukoo huo wa familia za Wakohathi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 naye Elisafani, akiwa mkuu wa ukoo huo wa familia za Wakohathi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 naye Elisafani, akiwa mkuu wa ukoo huo wa familia za Wakohathi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Kiongozi wa jamaa za koo za Wakohathi alikuwa Elisafani mwana wa Uzieli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Kiongozi wa jamaa za koo za Wakohathi alikuwa Elisafani mwana wa Uzieli.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

30 Na mkuu wa nyumba ya baba za jamaa za Wakohathi atakuwa Elisafani mwana wa Uzieli.

Tazama sura Nakili




Hesabu 3:30
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Uzieli; ni Mishaeli, na Elisafani, na Sithri.


Musa akawaita Mishaeli na Elisafani, wana wa Uzieli mjombaye Haruni, na kuwaambia, Njoni karibu, mwachukue hawa ndugu zenu, mkawaondoe hapa mbele ya maskani, mwende nao nje ya kambi.


Na katika Kohathi ni jamaa ya Waamrami, na jamaa ya Waishari, na jamaa ya Wahebroni, na jamaa ya hao Wauzieli; hizo ni jamaa za Wakohathi.


Jamaa za wana wa Kohathi watapiga kambi upande wa kusini wa maskani.


Na vitu watakavyovitunza ni hilo sanduku, na meza, na kinara cha taa, na madhabahu, na vile vyombo vya mahali patakatifu wavitumiavyo katika huduma yao, na pazia, na utumishi wake wote.


Na Haruni na wanawe watakapokwisha kupafunika mahali patakatifu, na vyombo vyote vya mahali patakatifu, hapo watakapong'oa kambi; baadaye, wana wa Kohathi watakuja kuvichukua; lakini wasiviguse vile vitu vitakatifu, wasife. Vyombo vile ni mzigo wa wana wa Kohathi katika hema ya kukutania.


Huu ndio utumishi wa wana wa Kohathi katika hema ya kukutania, katika vile vyombo vitakatifu sana;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo