Hesabu 3:30 - Swahili Revised Union Version30 Na mkuu wa nyumba ya baba za jamaa za Wakohathi atakuwa Elisafani mwana wa Uzieli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 naye Elisafani, akiwa mkuu wa ukoo huo wa familia za Wakohathi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 naye Elisafani, akiwa mkuu wa ukoo huo wa familia za Wakohathi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 naye Elisafani, akiwa mkuu wa ukoo huo wa familia za Wakohathi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Kiongozi wa jamaa za koo za Wakohathi alikuwa Elisafani mwana wa Uzieli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Kiongozi wa jamaa za koo za Wakohathi alikuwa Elisafani mwana wa Uzieli. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI30 Na mkuu wa nyumba ya baba za jamaa za Wakohathi atakuwa Elisafani mwana wa Uzieli. Tazama sura |