Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 26:6 - Swahili Revised Union Version

na wa Hesroni, jamaa ya Wahesroni; na wa Karmi, jamaa ya Wakarmi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hesroni na Karmi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hesroni na Karmi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hesroni na Karmi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kutoka kwa Hesroni, ukoo wa Wahesroni; kutoka kwa Karmi, ukoo wa Wakarmi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kutoka kwa Hesroni, ukoo wa Wahesroni; kutoka kwa Karmi, ukoo wa Wakarmi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na wa Hesroni, jamaa ya Wahesroni; na wa Karmi, jamaa ya Wakarmi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 26:6
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati wa kuua, na wakati wa kuponya; Wakati wa kubomoa, na wakati wa kujenga;


Lakini Watoto wenu, ambao mlisema watakuwa mateka, ndio nitakaowaleta na kuwatia ndani, nao wataijua nchi mliyoikataa ninyi.


Na wana wa Peresi walikuwa; wa Hesroni, jamaa ya Wahesroni; wa Hamuli, jamaa ya Wahamuli.


Reubeni mzaliwa wa kwanza wa Israeli, wana wa Reubeni; wa Hanoki, jamaa ya Wahanoki; na wa Palu, jamaa ya Wapalu;


Hizi ndizo jamaa za Wareubeni; na hao waliohesabiwa kwao walikuwa elfu arubaini na tatu, mia saba na thelathini.