Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mhubiri 3:3 - Swahili Revised Union Version

3 Wakati wa kuua, na wakati wa kuponya; Wakati wa kubomoa, na wakati wa kujenga;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 wakati wa kuua na wakati wa kuponya; wakati wa kubomoa na wakati wa kujenga;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 wakati wa kuua na wakati wa kuponya; wakati wa kubomoa na wakati wa kujenga;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 wakati wa kuua na wakati wa kuponya; wakati wa kubomoa na wakati wa kujenga;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 wakati wa kuua na wakati wa kuponya, wakati wa kubomoa, na wakati wa kujenga,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 wakati wa kuua na wakati wa kuponya, wakati wa kubomoa, na wakati wa kujenga,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Wakati wa kuua, na wakati wa kuponya; Wakati wa kubomoa, na wakati wa kujenga;

Tazama sura Nakili




Mhubiri 3:3
21 Marejeleo ya Msalaba  

Atakayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake huyo itamwagwa na mwanadamu, maana kwa mfano wake Mungu alimfanya mwanadamu.


nilithibitishaye neno la mtumishi wangu, na kuyafikiliza mashauri ya wajumbe wangu; niuambiaye Yerusalemu, Utakaliwa na watu, nayo miji ya Yuda, Itajengwa, nami nitapainua mahali pake palipobomoka;


Zifanye akili za watu hawa zipumbae, na uyatie uzito masikio yao, na uyafumbe macho yao; wasije wakaona kwa macho yao, na kusikia kwa masikio yao, na kufahamu kwa mioyo yao, na kurejea na kuponywa.


angalia, nimekuweka leo juu ya mataifa na juu ya falme, ili kung'oa, na kubomoa, na kuharibu, na kuangamiza; ili kujenga na kupanda.


Tena itakuwa, kwa kadiri nilivyowaangalia, ili kung'oa, na kubomoa, na kuangusha, na kuangamiza, na kutesa; kwa kadiri iyo hiyo nitawaangalia, ili kujenga, na kupanda, asema BWANA.


Tazama, nitauletea afya na kupona, nami nitawaponya; nami nitawafunulia wingi wa amani na kweli.


Basi, mwambie hivi, BWANA asema hivi, Tazama, niliyoyajenga nitayabomoa, na niliyoyapanda nitayang'oa; na haya yatakuwa katika nchi yote.


Ndivyo nitakavyoubomoa ukuta mlioupaka chokaa isiyokorogwa vema, na kuuangusha chini, hata misingi yake itafunuliwa; nao utaanguka, nanyi mtaangamizwa katikati yake; nanyi mtajua ya kuwa mimi ndimi BWANA.


BWANA wa majeshi asema hivi, ya kwamba, Watu hawa husema, Wakati wa kuijenga upya nyumba ya BWANA haujafika.


Je! Huu ndio wakati wa ninyi kukaa katika nyumba zenye mapambo ya mbao, iwapo nyumba hii inakaa hali ya kuharibika?


Ndipo yule malaika wa BWANA akajibu, akasema, Ee BWANA wa majeshi, hadi lini utakataa kuurehemu Yerusalemu, na miji ya Yuda uliyoikasirikia miaka hii sabini?


Fahamu sasa ya kuwa Mimi, naam, Mimi ndiye, Wala hapana Mungu mwingine ila Mimi; Naua Mimi, nahuisha Mimi, Nimejeruhi, tena naponya; Wala hapana awezaye kuokoa katika mkono wangu,


Mtu mmoja akimkosea mwenzake, Mungu atamhukumu; lakini mtu akimkosea BWANA, ni nani atakayemtetea? Lakini hawakuisikia sauti ya baba yao, kwa sababu BWANA amekusudia kuwaua.


BWANA huua, naye hufanya kuwa hai; Hushusha hadi kuzimu, tena huleta juu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo