Mhubiri 3:2 - Swahili Revised Union Version2 Wakati wa kuzaliwa, na wakati wa kufa; Wakati wa kupanda, na wakati wa kung'oa kilichopandwa; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa; wakati wa kupanda na wakati wa kuvuna kilichopandwa; Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa; wakati wa kupanda na wakati wa kuvuna kilichopandwa; Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa; wakati wa kupanda na wakati wa kuvuna kilichopandwa; Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa, wakati wa kupanda na wakati wa kung’oa yaliyopandwa, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa, wakati wa kupanda na wakati wa kung’oa yaliyopandwa, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI2 Wakati wa kuzaliwa, na wakati wa kufa; Wakati wa kupanda, na wakati wa kung'oa kilichopandwa; Tazama sura |
Basi mtu huyo akapiga kelele juu ya madhabahu, kwa neno la BWANA akasema, Ee madhabahu, madhabahu, BWANA asema hivi, Angalia, mtoto atazaliwa katika nyumba ya Daudi, jina lake Yosia; na juu yako atawatambika makuhani wa mahali pa juu, wanaofukiza uvumba juu yako, na mifupa ya watu itateketezwa juu yako.