Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mhubiri 3:4 - Swahili Revised Union Version

4 Wakati wa kulia, na wakati wa kucheka; Wakati wa kuomboleza, na wakati wa kucheza;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 wakati wa kulia na wakati wa kucheka; wakati wa kuomboleza na wakati wa kucheza;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 wakati wa kulia na wakati wa kucheka; wakati wa kuomboleza na wakati wa kucheza;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 wakati wa kulia na wakati wa kucheka; wakati wa kuomboleza na wakati wa kucheza;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 wakati wa kulia na wakati wa kucheka, wakati wa kuomboleza na wakati wa kucheza,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 wakati wa kulia na wakati wa kucheka, wakati wa kuomboleza na wakati wa kucheza,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Wakati wa kulia, na wakati wa kucheka; Wakati wa kuomboleza, na wakati wa kucheza;

Tazama sura Nakili




Mhubiri 3:4
23 Marejeleo ya Msalaba  

Sara akasema, Mungu amenifanyia kicheko; kila asikiaye atacheka pamoja nami.


Ikawa, sanduku la BWANA lilipoingia mji wa Daudi, Mikali binti Sauli, akachungulia dirishani, akamwona mfalme Daudi akirukaruka na kucheza mbele za BWANA; akamdharau moyoni mwake.


Umegeuza msiba wangu kuwa ngoma; Umeniondolea huzuni yangu, kunijalia furaha tele.


Maana ghadhabu zake ni za muda mfupi tu; Radhi yake ni ya milele. Kilio huweza kuwapo usiku, Lakini furaha huja asubuhi.


Na Miriamu, nabii mwanamke, dada yake Haruni, akatwaa tari mkononi mwake; wanawake wakatoka wote wakaenda nyuma yake, wenye matari na kucheza.


Wakati wa kutupa mawe, na wakati wa kukusanya mawe; Wakati wa kukumbatia, na wakati wa kutokumbatia;


Siku ya kufanikiwa ufurahi, Na siku ya mabaya ufikiri. Mungu ameifanya hiyo moja kwenda sambamba na hiyo ya pili, ili mwanadamu asipate kulijua neno lolote litakalofuata baada yake.


Watulizeni mioyo, watulizeni mioyo, watu wangu, asema Mungu wenu.


Semeni na moyo wa Yerusalemu, kauambieni kwa sauti kuu ya kwamba vita vyake vimekwisha, uovu wake umeachiliwa; kwa kuwa amepokea kwa mkono wa BWANA adhabu maradufu kwa dhambi zake zote.


Tuliwapigia filimbi, wala hamkucheza; tuliomboleza, wala hamkulia.


Yesu akawaambia, Walioalikwa arusini wawezaje kuomboleza, muda bwana arusi akiwapo pamoja nao? Lakini siku zitakuja watakapoondolewa bwana arusi; ndipo watakapofunga.


Wakasikia jirani zake na jamaa zake ya kwamba Bwana amemwongezea rehema zake, wakafurahi pamoja naye.


Furahini pamoja nao wafurahio; lieni pamoja nao waliao.


Maana huzuni iliyo kwa jinsi ya Mungu hufanya toba iletayo wokovu isiyo na majuto; bali huzuni ya dunia hufanya mauti.


Huzunikeni na kuomboleza na kulia. Kucheka kwenu na kugeuzwe kuwa kuomboleza, na furaha yenu kuwa huzuni kubwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo