Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 26:35 - Swahili Revised Union Version

Na wana wa Efraimu kwa jamaa zao; wa Shuthela, jamaa ya Washuthela; wa Beredi, jamaa ya Waberedi; wa Tahathi, jamaa ya Watahathi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kabila la Efraimu lilikuwa na jamaa za Shuthela, Bekeri na Tahani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kabila la Efraimu lilikuwa na jamaa za Shuthela, Bekeri na Tahani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kabila la Efraimu lilikuwa na jamaa za Shuthela, Bekeri na Tahani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hawa walikuwa wazao wa Efraimu kwa koo zao: kutoka kwa Shuthela, ukoo wa Washuthela; kutoka kwa Bekeri, ukoo wa Wabekeri; kutoka kwa Tahani, ukoo wa Watahani;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hawa walikuwa wazao wa Efraimu kwa koo zao: kutoka kwa Shuthela, ukoo wa Washuthela; kutoka kwa Bekeri, ukoo wa Wabekeri; kutoka kwa Tahani, ukoo wa Watahani;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wana wa Efraimu kwa jamaa zao; wa Shuthela, jamaa ya Washuthela; wa Beredi, jamaa ya Waberedi; wa Tahathi, jamaa ya Watahathi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 26:35
4 Marejeleo ya Msalaba  

Katika wana wa Yusufu, maana katika wana wa Efraimu, vizazi vyao kwa kufuata jamaa zao, na nyumba za baba zao, kama hesabu ya majina, kuanzia umri wa miaka ishirini na zaidi, wote walioweza kwenda vitani,


Hawa ndizo jamaa wa Manase; na waliohesabiwa kwao walikuwa ni elfu hamsini na mbili na mia saba.


Na wana wa Shuthela ni hawa; wa Erani, jamaa ya Waerani.