Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 26:36 - Swahili Revised Union Version

36 Na wana wa Shuthela ni hawa; wa Erani, jamaa ya Waerani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Ukoo wa Erani ulikuwa na jamaa ya Shuthela.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Ukoo wa Erani ulikuwa na jamaa ya Shuthela.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Ukoo wa Erani ulikuwa na jamaa ya Shuthela.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Hawa walikuwa wazao wa Shuthela: kutoka kwa Erani, ukoo wa Waerani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Hawa ndio walikuwa wazao wa Shuthela: kutoka kwa Erani, ukoo wa Waerani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

36 Na wana wa Shuthela ni hawa; wa Erani, jamaa ya Waerani.

Tazama sura Nakili




Hesabu 26:36
3 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Efraimu; Shuthela, na mwanawe huyo ni Beredi, na mwanawe huyo ni Tahathi, na mwanawe huyo ni Ekada, na mwanawe huyo ni Tahathi;


Na wana wa Efraimu kwa jamaa zao; wa Shuthela, jamaa ya Washuthela; wa Beredi, jamaa ya Waberedi; wa Tahathi, jamaa ya Watahathi.


Hawa ndio jamaa wa wana wa Efraimu kama waliohesabiwa kwao, elfu thelathini na mbili na mia tano. Hao ndio wana wa Yusufu kwa jamaa zao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo