Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 26:35 - Swahili Revised Union Version

35 Na wana wa Efraimu kwa jamaa zao; wa Shuthela, jamaa ya Washuthela; wa Beredi, jamaa ya Waberedi; wa Tahathi, jamaa ya Watahathi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Kabila la Efraimu lilikuwa na jamaa za Shuthela, Bekeri na Tahani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Kabila la Efraimu lilikuwa na jamaa za Shuthela, Bekeri na Tahani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Kabila la Efraimu lilikuwa na jamaa za Shuthela, Bekeri na Tahani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 Hawa walikuwa wazao wa Efraimu kwa koo zao: kutoka kwa Shuthela, ukoo wa Washuthela; kutoka kwa Bekeri, ukoo wa Wabekeri; kutoka kwa Tahani, ukoo wa Watahani;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 Hawa walikuwa wazao wa Efraimu kwa koo zao: kutoka kwa Shuthela, ukoo wa Washuthela; kutoka kwa Bekeri, ukoo wa Wabekeri; kutoka kwa Tahani, ukoo wa Watahani;

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

35 Na wana wa Efraimu kwa jamaa zao; wa Shuthela, jamaa ya Washuthela; wa Beredi, jamaa ya Waberedi; wa Tahathi, jamaa ya Watahathi.

Tazama sura Nakili




Hesabu 26:35
4 Marejeleo ya Msalaba  

Katika wana wa Yusufu, maana katika wana wa Efraimu, vizazi vyao kwa kufuata jamaa zao, na nyumba za baba zao, kama hesabu ya majina, kuanzia umri wa miaka ishirini na zaidi, wote walioweza kwenda vitani,


Hawa ndizo jamaa wa Manase; na waliohesabiwa kwao walikuwa ni elfu hamsini na mbili na mia saba.


Na wana wa Shuthela ni hawa; wa Erani, jamaa ya Waerani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo