Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 26:37 - Swahili Revised Union Version

37 Hawa ndio jamaa wa wana wa Efraimu kama waliohesabiwa kwao, elfu thelathini na mbili na mia tano. Hao ndio wana wa Yusufu kwa jamaa zao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

37 Hizo ndizo koo za Efraimu, jumla wanaume 32,500. Zote hizo zilitokana na Yosefu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

37 Hizo ndizo koo za Efraimu, jumla wanaume 32,500. Zote hizo zilitokana na Yosefu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

37 Hizo ndizo koo za Efraimu, jumla wanaume 32,500. Zote hizo zilitokana na Yosefu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

37 Hizo zilikuwa koo za Efraimu; wale waliohesabiwa walikuwa elfu thelathini na mbili na mia tano. Hao walikuwa wazao wa Yusufu kwa koo zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

37 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Efraimu; wale waliohesabiwa walikuwa 32,500. Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yusufu kwa koo zao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

37 Hawa ndio jamaa wa wana wa Efraimu kama waliohesabiwa kwao, elfu thelathini na mbili na mia tano. Hao ndio wana wa Yusufu kwa jamaa zao.

Tazama sura Nakili




Hesabu 26:37
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Shuthela ni hawa; wa Erani, jamaa ya Waerani.


Na wana wa Benyamini kwa jamaa zao; wa Bela, jamaa ya Wabela; na wa Ashbeli, jamaa ya Waashbeli; wa Ahiramu, jamaa ya Waahiramu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo