Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 2:7 - Swahili Revised Union Version

na kabila la Zabuloni; na mkuu wa wana wa Zabuloni atakuwa Eliabu mwana wa Heloni;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha kabila la Zebuluni, kiongozi wao akiwa Eliabu mwana wa Heloni,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha kabila la Zebuluni, kiongozi wao akiwa Eliabu mwana wa Heloni,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha kabila la Zebuluni, kiongozi wao akiwa Eliabu mwana wa Heloni,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kabila la Zabuloni litafuata. Kiongozi wa watu wa Zabuloni ni Eliabu mwana wa Heloni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kabila la Zabuloni litafuata. Kiongozi wa watu wa Zabuloni ni Eliabu mwana wa Heloni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na kabila la Zabuloni; na mkuu wa wana wa Zabuloni atakuwa Eliabu mwana wa Heloni;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 2:7
7 Marejeleo ya Msalaba  

Wa Zabuloni; Eliabu mwana wa Heloni.


Na juu ya jeshi la kabila la wana wa Zabuloni ni Eliabu mwana wa Heloni.


na jeshi lake, na wale waliohesabiwa kwao, walikuwa elfu hamsini na nne na mia nne;


na jeshi lake, na wale waliohesabiwa kwao, walikuwa elfu hamsini na saba na mia nne.


Siku ya tatu Eliabu mwana wa Heloni, mkuu wa wana wa Zabuloni;


tena kwa ajili ya dhabihu ya sadaka za amani, ng'ombe dume wawili, na kondoo dume watano, na mbuzi dume watano, na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja; hayo ndiyo matoleo ya Eliabu mwana wa Heloni.