Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 10:16 - Swahili Revised Union Version

16 Na juu ya jeshi la kabila la wana wa Zabuloni ni Eliabu mwana wa Heloni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Naye Eliabu mwana wa Heloni, alikuwa kiongozi wa kikosi cha kabila la Zebuluni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Naye Eliabu mwana wa Heloni, alikuwa kiongozi wa kikosi cha kabila la Zebuluni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Naye Eliabu mwana wa Heloni, alikuwa kiongozi wa kikosi cha kabila la Zebuluni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 naye Eliabu mwana wa Heloni alikuwa kiongozi wa kabila la Zabuloni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 naye Eliabu mwana wa Heloni alikuwa kiongozi wa kabila la Zabuloni.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Na juu ya jeshi la kabila la wana wa Zabuloni ni Eliabu mwana wa Heloni.

Tazama sura Nakili




Hesabu 10:16
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wa Zabuloni; Eliabu mwana wa Heloni.


Na juu ya jeshi la kabila la wana wa Isakari alikuwa Nethaneli mwana wa Suari.


Na maskani ilishushwa; na wana wa Gershoni, na wana wa Merari, walioichukua maskani, wakasafiri kwenda mbele.


Siku ya tatu Eliabu mwana wa Heloni, mkuu wa wana wa Zabuloni;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo