Hesabu 10:17 - Swahili Revised Union Version17 Na maskani ilishushwa; na wana wa Gershoni, na wana wa Merari, walioichukua maskani, wakasafiri kwenda mbele. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Kisha, hema lilishushwa, na watu wa ukoo wa Gershoni na wa Merari ambao walilibeba, walianza kuondoka. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Kisha, hema lilishushwa, na watu wa ukoo wa Gershoni na wa Merari ambao walilibeba, walianza kuondoka. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Kisha, hema lilishushwa, na watu wa ukoo wa Gershoni na wa Merari ambao walilibeba, walianza kuondoka. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Ndipo Maskani iliposhushwa, nao wana wa Gershoni na wana wa Merari ambao waliibeba wakaondoka. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Ndipo Maskani iliposhushwa, nao wana wa Gershoni na wana wa Merari ambao waliibeba wakaondoka. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI17 Na maskani ilishushwa; na wana wa Gershoni, na wana wa Merari, walioichukua maskani, wakasafiri kwenda mbele. Tazama sura |