Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 7:24 - Swahili Revised Union Version

24 Siku ya tatu Eliabu mwana wa Heloni, mkuu wa wana wa Zabuloni;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Siku ya tatu ikawa zamu ya Eliabu mwana wa Heloni, kiongozi wa kabila la Zebuluni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Siku ya tatu ikawa zamu ya Eliabu mwana wa Heloni, kiongozi wa kabila la Zebuluni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Siku ya tatu ikawa zamu ya Eliabu mwana wa Heloni, kiongozi wa kabila la Zebuluni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Siku ya tatu Eliabu mwana wa Heloni, kiongozi wa watu wa Zabuloni, alileta sadaka yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Siku ya tatu Eliabu mwana wa Heloni, kiongozi wa kabila la Zabuloni, alileta sadaka yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

24 Siku ya tatu Eliabu mwana wa Heloni, mkuu wa wana wa Zabuloni;

Tazama sura Nakili




Hesabu 7:24
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wa Zabuloni; Eliabu mwana wa Heloni.


na kabila la Zabuloni; na mkuu wa wana wa Zabuloni atakuwa Eliabu mwana wa Heloni;


na kwa dhabihu ya sadaka za amani, ng'ombe dume wawili, na kondoo dume watano, na mbuzi dume watano, na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja; hayo ndiyo matoleo ya Nethaneli mwana wa Suari.


matoleo yake yalikuwa sahani moja ya fedha, uzani wake ni shekeli mia moja na thelathini, na bakuli moja ya fedha, uzani wake shekeli sabini, kwa shekeli ya mahali patakatifu; vyombo hivyo vyote viwili vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, kuwa sadaka ya unga;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo