Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 15:34 - Swahili Revised Union Version

Nao wakamweka kifungoni, maana, lilikuwa halijasemwa atakalotendwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wao wakamweka kifungoni kwa sababu haikuwa bado imesemwa wazi namna ya kumfanya mtu wa namna hiyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wao wakamweka kifungoni kwa sababu haikuwa bado imesemwa wazi namna ya kumfanya mtu wa namna hiyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wao wakamweka kifungoni kwa sababu haikuwa bado imesemwa wazi namna ya kumfanya mtu wa namna hiyo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

nao wakamweka kifungoni, kwa sababu haikufahamika kwa wazi kwamba afanyiwe nini.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

nao wakamweka kifungoni, kwa sababu haikufahamika kwa wazi kwamba afanyiwe nini.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao wakamweka kifungoni, maana, lilikuwa halijasemwa atakalotendwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 15:34
5 Marejeleo ya Msalaba  

Mkwewe Musa alipoyaona yote aliyowafanyia watu, akasema, Ni jambo gani hili uwatendealo hao watu? Kwani wewe kuketi hapo peke yako, na watu wote kusimama kwako tangu asubuhi hata jioni?


Musa akamwambia mkwewe, Ni kwa sababu watu hunijilia mimi wapate kumwuliza Mungu;


Nao wakamtia kifungoni, ili wapate kuambiwa neno litakalotoka kinywani pa BWANA.


Hao waliomwona akikusanya kuni wakamleta kwa Musa na Haruni, na kwa mkutano wote.


Musa akawaambia, Ngojeni hapo; hata nipate sikiza BWANA atakaloagiza juu yenu.