Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 15:33 - Swahili Revised Union Version

33 Hao waliomwona akikusanya kuni wakamleta kwa Musa na Haruni, na kwa mkutano wote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Basi, mtu huyo akapelekwa mbele ya Mose, Aroni na jumuiya yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Basi, mtu huyo akapelekwa mbele ya Mose, Aroni na jumuiya yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Basi, mtu huyo akapelekwa mbele ya Mose, Aroni na jumuiya yote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Wale waliomkuta akikusanya kuni wakamleta kwa Musa, na Haruni na kusanyiko lote,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Wale waliomkuta akikusanya kuni wakamleta kwa Musa, Haruni na kusanyiko lote,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

33 Hao waliomwona akikusanya kuni wakamleta kwa Musa na Haruni, na kwa mkutano wote.

Tazama sura Nakili




Hesabu 15:33
4 Marejeleo ya Msalaba  

nao wawaamue watu hawa sikuzote; kisha, kila neno lililo kubwa watakuletea wewe, lakini kila neno dogo wataliamua wenyewe; basi kwako wewe mwenyewe utapata nafasi zaidi, nao watauchukua huo mzigo pamoja nawe.


Kisha wakati huo wana wa Israeli walipokuwako jangwani, wakamwona mtu mmoja akikusanya kuni siku ya Sabato.


Nao wakamweka kifungoni, maana, lilikuwa halijasemwa atakalotendwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo