Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 15:32 - Swahili Revised Union Version

32 Kisha wakati huo wana wa Israeli walipokuwako jangwani, wakamwona mtu mmoja akikusanya kuni siku ya Sabato.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Siku moja, wakati Waisraeli walipokuwa jangwani, walimwona mtu mmoja akiokota kuni siku ya Sabato.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Siku moja, wakati Waisraeli walipokuwa jangwani, walimwona mtu mmoja akiokota kuni siku ya Sabato.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Siku moja, wakati Waisraeli walipokuwa jangwani, walimwona mtu mmoja akiokota kuni siku ya Sabato.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Waisraeli walipokuwa jangwani, mtu mmoja alikutwa akikusanya kuni siku ya Sabato.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Waisraeli walipokuwa jangwani, mtu mmoja alikutwa akikusanya kuni siku ya Sabato.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

32 Kisha wakati huo wana wa Israeli walipokuwako jangwani, wakamwona mtu mmoja akikusanya kuni siku ya Sabato.

Tazama sura Nakili




Hesabu 15:32
7 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaambia, Ndilo neno alilonena BWANA Kesho ni starehe takatifu, Sabato takatifu kwa BWANA; okeni mtakachooka, na kutokosa mtakachotokosa; na hicho kitakachowasalia jiwekeeni kilindwe hata asubuhi.


BWANA asema hivi, Jihadharini nafsi zenu, msichukue mzigo wowote siku ya sabato, wala msiulete ndani kwa malango ya Yerusalemu;


Hao waliomwona akikusanya kuni wakamleta kwa Musa na Haruni, na kwa mkutano wote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo