Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 15:34 - Swahili Revised Union Version

34 Nao wakamweka kifungoni, maana, lilikuwa halijasemwa atakalotendwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Wao wakamweka kifungoni kwa sababu haikuwa bado imesemwa wazi namna ya kumfanya mtu wa namna hiyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Wao wakamweka kifungoni kwa sababu haikuwa bado imesemwa wazi namna ya kumfanya mtu wa namna hiyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Wao wakamweka kifungoni kwa sababu haikuwa bado imesemwa wazi namna ya kumfanya mtu wa namna hiyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 nao wakamweka kifungoni, kwa sababu haikufahamika kwa wazi kwamba afanyiwe nini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 nao wakamweka kifungoni, kwa sababu haikufahamika kwa wazi kwamba afanyiwe nini.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

34 Nao wakamweka kifungoni, maana, lilikuwa halijasemwa atakalotendwa.

Tazama sura Nakili




Hesabu 15:34
5 Marejeleo ya Msalaba  

Mkwewe Musa alipoyaona yote aliyowafanyia watu, akasema, Ni jambo gani hili uwatendealo hao watu? Kwani wewe kuketi hapo peke yako, na watu wote kusimama kwako tangu asubuhi hata jioni?


Musa akamwambia mkwewe, Ni kwa sababu watu hunijilia mimi wapate kumwuliza Mungu;


Nao wakamtia kifungoni, ili wapate kuambiwa neno litakalotoka kinywani pa BWANA.


Hao waliomwona akikusanya kuni wakamleta kwa Musa na Haruni, na kwa mkutano wote.


Musa akawaambia, Ngojeni hapo; hata nipate sikiza BWANA atakaloagiza juu yenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo