Hesabu 15:35 - Swahili Revised Union Version35 BWANA akamwambia Musa, Mtu huyo lazima atauawa; mkutano wote watampiga kwa mawe huko nje ya kambi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema35 Ndipo Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Mtu huyo lazima auawe; jumuiya yote itampiga mawe nje ya kambi.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND35 Ndipo Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Mtu huyo lazima auawe; jumuiya yote itampiga mawe nje ya kambi.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza35 Ndipo Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Mtu huyo lazima auawe; jumuiya yote itampiga mawe nje ya kambi.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu35 Ndipo Mwenyezi Mungu akamwambia Musa, “Huyo mtu ni lazima afe. Kusanyiko lote lazima wampige mawe nje ya kambi.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu35 Ndipo bwana akamwambia Musa, “Huyo mtu ni lazima afe. Kusanyiko lote lazima limpige mawe nje ya kambi.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI35 BWANA akamwambia Musa, Mtu huyo lazima atauawa; mkutano wote watampiga kwa mawe huko nje ya kambi. Tazama sura |