Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 12:9 - Swahili Revised Union Version

Hasira za BWANA zikawaka juu yao; kisha akaenda zake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hapo Mwenyezi-Mungu akawaka hasira dhidi yao, akaondoka, akaenda zake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hapo Mwenyezi-Mungu akawaka hasira dhidi yao, akaondoka, akaenda zake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hapo Mwenyezi-Mungu akawaka hasira dhidi yao, akaondoka, akaenda zake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hasira ya Mwenyezi Mungu ikawaka dhidi yao, akawaacha.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hasira ya bwana ikawaka dhidi yao, akawaacha.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hasira za BWANA zikawaka juu yao; kisha akaenda zake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 12:9
5 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu alipomaliza kusema naye, akaondoka kwa Abrahamu.


Basi BWANA alipokwisha kuzungumza na Abrahamu, akaenda zake; Abrahamu naye akarudi mahali pake.


Nitakwenda zangu niparudie mahali pangu, hata watakapoungama makosa yao na kunitafuta uso wangu; katika taabu yao watanitafuta kwa bidii.


Kisha hao watu walikuwa kama wanung'unikao, wakinena maovu masikioni mwa BWANA; BWANA aliposikia hayo, hasira zake zikawaka; na moto wa BWANA ukawaka kati yao, ukateketeza hadi viunga vya kambi.


Basi Musa akawasikia watu wakilia katika jamaa zao zote, kila mtu mlangoni pa hema yake; na hasira za BWANA zikawaka sana; Musa naye akakasirika.