Hesabu 11:1 - Swahili Revised Union Version1 Kisha hao watu walikuwa kama wanung'unikao, wakinena maovu masikioni mwa BWANA; BWANA aliposikia hayo, hasira zake zikawaka; na moto wa BWANA ukawaka kati yao, ukateketeza hadi viunga vya kambi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Watu walianza kumlalamikia Mwenyezi-Mungu juu ya taabu zao. Mwenyezi-Mungu aliposikia, alishikwa na hasira, akawapelekea moto. Moto huo uliwaka kati yao na kuchoma upande mmoja wa kambi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Watu walianza kumlalamikia Mwenyezi-Mungu juu ya taabu zao. Mwenyezi-Mungu aliposikia, alishikwa na hasira, akawapelekea moto. Moto huo uliwaka kati yao na kuchoma upande mmoja wa kambi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Watu walianza kumlalamikia Mwenyezi-Mungu juu ya taabu zao. Mwenyezi-Mungu aliposikia, alishikwa na hasira, akawapelekea moto. Moto huo uliwaka kati yao na kuchoma upande mmoja wa kambi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Basi watu wakalalamika kwa habari ya taabu zao masikioni mwa Mwenyezi Mungu, naye alipowasikia, hasira yake ikawaka. Ndipo moto kutoka kwa Mwenyezi Mungu ukawaka miongoni mwao na kuteketeza baadhi ya viunga vya kambi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Basi watu wakalalamika kwa habari ya taabu zao masikioni mwa bwana, naye alipowasikia, hasira yake ikawaka. Ndipo moto kutoka kwa bwana ukawaka miongoni mwao na kuteketeza baadhi ya viunga vya kambi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI1 Kisha hao watu walikuwa kama wanung'unikao, wakinena maovu masikioni mwa BWANA; BWANA aliposikia hayo, hasira zake zikawaka; na moto wa BWANA ukawaka kati yao, ukateketeza hadi viunga vya kambi. Tazama sura |