Hesabu 10:36 - Swahili Revised Union Version36 Tena hapo liliposimama, akasema, Ee BWANA, uwarudie maelfu kumi ya maelfu ya Israeli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema36 Na kila wakati liliposimama, Mose alisema, “Warudie, ee Mwenyezi-Mungu, hawa maelfu na maelfu ya Israeli.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND36 Na kila wakati liliposimama, Mose alisema, “Warudie, ee Mwenyezi-Mungu, hawa maelfu na maelfu ya Israeli.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza36 Na kila wakati liliposimama, Mose alisema, “Warudie, ee Mwenyezi-Mungu, hawa maelfu na maelfu ya Israeli.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu36 Wakati wowote Sanduku liliposimama, alisema, “Ee Mwenyezi Mungu, rudi, kwa maelfu ya Waisraeli wasiohesabika.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu36 Wakati wowote Sanduku liliposimama, alisema, “Ee bwana, rudi, kwa maelfu ya Waisraeli wasiohesabika.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI36 Tena hapo liliposimama, akasema, Ee BWANA, uwarudie maelfu kumi ya maelfu ya Israeli. Tazama sura |