Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 1:41 - Swahili Revised Union Version

wale waliohesabiwa katika kabila la Asheri, walikuwa watu elfu arubaini na moja na mia tano (41,500).

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

walikuwa watu 41,500.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

walikuwa watu 41,500.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

walikuwa watu 41,500.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Idadi kutoka kabila la Asheri walikuwa watu elfu arobaini na moja na mia tano.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Idadi kutoka kabila la Asheri walikuwa watu 41,500.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wale waliohesabiwa katika kabila la Asheri, walikuwa watu elfu arobaini na moja na mia tano (41,500).

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 1:41
4 Marejeleo ya Msalaba  

Katika wana wa Asheri, vizazi vyao, kwa kufuata jamaa zao, na nyumba za baba zao, kama hesabu ya majina, kuanzia umri wa miaka ishirini na zaidi, wote walioweza kwenda vitani;


Katika wana wa Naftali, vizazi vyao, kwa kufuata jamaa zao, na nyumba za baba zao, kama hesabu ya majina, kuanzia umri wa miaka ishirini na zaidi, wote walioweza kwenda vitani;


na jeshi lake, na wale waliohesabiwa kwao, walikuwa elfu arubaini na moja na mia tano;


Hawa ndio jamaa wa wana wa Asheri kama waliohesabiwa kwao, elfu hamsini na tatu na mia nne.