Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 1:10 - Swahili Revised Union Version

Katika wana wa Yusufu; wa Efraimu, Elishama mwana wa Amihudi; na wa Manase; Gamalieli mwana wa Pedasuri.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kabila la Efraimu: Elishama mwana wa Amihudi; Kabila la Manase: Gamalieli mwana wa Pedasuri;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kabila la Efraimu: Elishama mwana wa Amihudi; Kabila la Manase: Gamalieli mwana wa Pedasuri;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kabila la Efraimu: Elishama mwana wa Amihudi; Kabila la Manase: Gamalieli mwana wa Pedasuri;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kutoka wana wa Yusufu: kutoka Efraimu, ni Elishama mwana wa Amihudi; kutoka Manase, ni Gamalieli mwana wa Pedasuri;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kutoka wana wa Yusufu: kutoka Efraimu, ni Elishama mwana wa Amihudi; kutoka Manase, ni Gamalieli mwana wa Pedasuri;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Katika wana wa Yusufu; wa Efraimu, Elishama mwana wa Amihudi; na wa Manase; Gamalieli mwana wa Pedasuri.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 1:10
8 Marejeleo ya Msalaba  

Wa Benyamini Abidani mwana wa Gideoni.


Wa Zabuloni; Eliabu mwana wa Heloni.


Upande wa magharibi kutakuwa na bendera ya kambi ya Efraimu kwa majeshi yao; na mkuu wa wana wa Efraimu atakuwa Elishama mwana wa Amihudi.


Na karibu naye itakuwa kabila la Manase; na mkuu wa wana wa Manase atakuwa Gamalieli mwana wa Pedasuri;


Siku ya saba Elishama mwana wa Amihudi, mkuu wa wana wa Efraimu;


Siku ya nane Gamalieli mwana wa Pedasuri, mkuu wa wana wa Manase;