Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 7:54 - Swahili Revised Union Version

54 Siku ya nane Gamalieli mwana wa Pedasuri, mkuu wa wana wa Manase;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

54 Siku ya nane ikawa zamu ya Gamalieli mwana wa Pedasuri, kiongozi wa kabila la Manase.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

54 Siku ya nane ikawa zamu ya Gamalieli mwana wa Pedasuri, kiongozi wa kabila la Manase.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

54 Siku ya nane ikawa zamu ya Gamalieli mwana wa Pedasuri, kiongozi wa kabila la Manase.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

54 Siku ya nane Gamalieli mwana wa Pedasuri, kiongozi wa watu wa Manase, alileta sadaka yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

54 Siku ya nane Gamalieli mwana wa Pedasuri, kiongozi wa watu wa Manase, alileta sadaka yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

54 Siku ya nane Gamalieli mwana wa Pedasuri, mkuu wa wana wa Manase;

Tazama sura Nakili




Hesabu 7:54
4 Marejeleo ya Msalaba  

Katika wana wa Yusufu; wa Efraimu, Elishama mwana wa Amihudi; na wa Manase; Gamalieli mwana wa Pedasuri.


Na karibu naye itakuwa kabila la Manase; na mkuu wa wana wa Manase atakuwa Gamalieli mwana wa Pedasuri;


tena kwa ajili ya dhabihu ya sadaka za amani, ng'ombe dume wawili, na kondoo dume watano, na mbuzi dume watano, na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja; hayo ndiyo matoleo ya Elishama mwana wa Amihudi.


matoleo yake yalikuwa sahani moja ya fedha, uzani wake ni shekeli mia moja na thelathini, na bakuli moja ya fedha, uzani wake shekeli sabini, kwa shekeli ya mahali patakatifu; vyombo hivyo vyote viwili vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, kuwa sadaka ya unga;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo