Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hagai 1:7 - Swahili Revised Union Version

BWANA wa majeshi asema hivi, Zitafakarini njia zenu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenyezi-Mungu wa majeshi asema hivi: “Fikirini kama mnafanya sawa!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenyezi-Mungu wa majeshi asema hivi: “Fikirini kama mnafanya sawa!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenyezi-Mungu wa majeshi asema hivi: “Fikirini kama mnafanya sawa!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni: “Zitafakarini vyema njia zenu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hili ndilo asemalo bwana Mwenye Nguvu Zote: “Zitafakarini vyema njia zenu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

BWANA wa majeshi asema hivi, Zitafakarini njia zenu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hagai 1:7
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana ni amri juu ya amri, amri juu ya amri; kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya kanuni; huku kidogo na huku kidogo.


Na tuchunguze njia zetu na kuzijaribu, Na kumrudia BWANA tena.


Basi sasa, BWANA wa majeshi asema hivi, Zitafakarini njia zenu.


Mmepanda mbegu nyingi mkavuna kidogo; mnakula lakini hamshibi; mnakunywa lakini hamtosheki na vinywaji; mnajivika nguo lakini hampati joto; na yeye apataye mshahara apata mshahara ili kuutia katika mfuko uliotobokatoboka.


Pandeni milimani, mkalete miti, mkaijenge nyumba; nami nitaifurahia, nami nitatukuzwa, asema BWANA.


Na sasa nawaomba, tafakarini; tangu siku hii na siku zilizopita; kabla jiwe halijatiwa juu ya jiwe katika nyumba ya BWANA;


Hatimaye, ndugu zangu, furahini katika Bwana. Kuwaandikieni mambo yale yale hakuniudhi mimi, bali kutawafaa ninyi.