Isaya 28:10 - Swahili Revised Union Version10 Kwa maana ni amri juu ya amri, amri juu ya amri; kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya kanuni; huku kidogo na huku kidogo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Anatufundisha kama watoto wadogo: Sheria baada ya sheria, mstari baada ya mstari; mara hiki, mara kile!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Anatufundisha kama watoto wadogo: Sheria baada ya sheria, mstari baada ya mstari; mara hiki, mara kile!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Anatufundisha kama watoto wadogo: sheria baada ya sheria, mstari baada ya mstari; mara hiki, mara kile!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Kwa maana ni: Amri juu ya amri, amri juu ya amri, kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya kanuni; hapa kidogo, kule kidogo.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Kwa maana ni: Amri juu ya amri, amri juu ya amri, kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya kanuni; hapa kidogo, kule kidogo.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 Kwa maana ni amri juu ya amri, amri juu ya amri; kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya kanuni; huku kidogo na huku kidogo. Tazama sura |