Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezra 8:8 - Swahili Revised Union Version

Na wa wana wa Shefatia, Zebadia, mwana wa Mikaeli; na pamoja naye wanaume themanini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Zebadia, mwana wa Mikaeli, wa ukoo wa Shefatia, pamoja na wanaume 80.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Zebadia, mwana wa Mikaeli, wa ukoo wa Shefatia, pamoja na wanaume 80.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Zebadia, mwana wa Mikaeli, wa ukoo wa Shefatia, pamoja na wanaume 80.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

wa wazao wa Shefatia, alikuwa Zebadia mwana wa Mikaeli na wanaume themanini;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

wa wazao wa Shefatia, alikuwa Zebadia mwana wa Mikaeli na wanaume 80 pamoja naye;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wa wana wa Shefatia, Zebadia, mwana wa Mikaeli; na pamoja naye wanaume themanini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezra 8:8
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wazawa wa Shefatia, mia tatu sabini na wawili.


Na wa wana wa Elamu, Yeshaya, mwana wa Athalia; na pamoja naye wanaume sabini.


Wa wana wa Yoabu, Obadia, mwana wa Yehieli; na pamoja naye wanaume mia mbili na kumi na wanane.


Tena wakakaa Yerusalemu wengine wa wana wa Yuda, na wengine wa wana wa Benyamini. Wa wana wa Yuda; Athaya, mwana wa Uzia, mwana wa Zekaria, mwana wa Amaria, mwana wa Shefatia, mwana wa Mahalaleli, wa wana wa Peresi;


Wana wa Shefatia, mia tatu sabini na wawili.