Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ezra 8:7 - Swahili Revised Union Version

7 Na wa wana wa Elamu, Yeshaya, mwana wa Athalia; na pamoja naye wanaume sabini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Yeshaya, mwana wa Athalia, wa ukoo wa Elamu, pamoja na wanaume 70.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Yeshaya, mwana wa Athalia, wa ukoo wa Elamu, pamoja na wanaume 70.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Yeshaya, mwana wa Athalia, wa ukoo wa Elamu, pamoja na wanaume 70.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 wa wazao wa Elamu, alikuwa Yeshaya mwana wa Athalia, na wanaume sabini;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 wa wazao wa Elamu, alikuwa Yeshaya mwana wa Athalia, na wanaume 70 pamoja naye;

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Na wa wana wa Elamu, Yeshaya, mwana wa Athalia; na pamoja naye wanaume sabini.

Tazama sura Nakili




Ezra 8:7
7 Marejeleo ya Msalaba  

Hata Shekania, mwana wa Yehieli, mmoja wa wazawa wa Elamu, akajibu, akamwambia Ezra, Sisi tumemkosea Mungu wetu, nasi tumeoa wanawake wageni wa watu wa nchi hizi; lakini bado kuna tumaini kwa Israeli katika jambo hili.


Watu wa Elamu wa pili, elfu moja mia mbili hamsini na wanne.


Wazawa wa Elamu, elfu moja mia mbili hamsini na wanne.


Na wa wana wa Adini, Ebedi, mwana wa Yonathani; na pamoja naye wanaume hamsini.


Na wa wana wa Shefatia, Zebadia, mwana wa Mikaeli; na pamoja naye wanaume themanini.


Wana wa Elamu, elfu moja mia mbili hamsini na wanne.


Wana wa Elamu wa pili, elfu moja mia mbili hamsini na wanne.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo