Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Danieli 5:25 - Swahili Revised Union Version

Na maandiko yaliyoandikwa ni haya; MENE, MENE, TEKELI, NA PERESI.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Maandishi yenyewe ni: ‘MENE, MENE, TEKELI, PARSINI.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Maandishi yenyewe ni: ‘MENE, MENE, TEKELI, PARSINI.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Maandishi yenyewe ni: ‘MENE, MENE, TEKELI, PARSINI.’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Haya ndio maneno yaliyoandikwa: mene, mene, tekeli, na peresi

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Haya ndiyo maneno yaliyoandikwa: mene, mene, tekeli na peresi

Tazama sura

Swahili Roehl Bible 1937

Nayo haya maandiko yaliyoandikwa hapa ni kwamba: Mene, Mene, Tekel, U-parsin

Tazama sura
Tafsiri zingine



Danieli 5:25
10 Marejeleo ya Msalaba  

Barua kutoka nabii Eliya ilimjia, ikisema, BWANA, Mungu wa Daudi baba yako, asema hivi, Kwa kuwa hukuziendea njia za Yehoshafati baba yako, wala njia za Asa mfalme wa Yuda;


Fahari yako imeshushwa hadi kuzimu, Na sauti ya vinanda vyako; Funza wametandazwa chini yako, Na vidudu vinakufunika.


Kwa sababu hiyo uovu utakupata; wala hutaweza kuuagua; na msiba utakuangukia; hutaweza kuuondoa; na ukiwa usioujua utakupata kwa ghafla.


Na mataifa yote watamtumikia yeye, na mwanawe, na mwana wa mwanawe, hata utakapowadia wakati wa nchi yake mwenyewe, ndipo mataifa mengi na wafalme wakuu watamtumikisha yeye.


Ndipo kile kiganja cha ule mkono kikaletwa kutoka mbele zake, na maandiko haya yameandikwa.


Na tafsiri ya maneno haya ni hii; MENE, Mungu ameuhesabu ufalme wako na kuukomesha.


Je! Hawatainuka ghafla wao watakaokuuma, hawataamka wao watakaokusumbua, nawe utakuwa mateka kwao?


Amefanya nguvu kwa mkono wake; Amewatawanya walio na kiburi katika mawazo ya mioyo yao;


Lakini Mungu akamwambia, Mpumbavu wewe, usiku huu wa leo wanataka roho yako! Na vitu ulivyojiwekea tayari vitakuwa vya nani?


Tena pamoja na wewe BWANA atawatia Israeli mikononi mwa Wafilisti; hata na kesho wewe na wanao mtakuwapo pamoja nami; tena BWANA atawatia jeshi la Israeli pia mikononi mwa Wafilisti.