Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Danieli 5:25 - Swahili Revised Union Version

25 Na maandiko yaliyoandikwa ni haya; MENE, MENE, TEKELI, NA PERESI.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 “Maandishi yenyewe ni: ‘MENE, MENE, TEKELI, PARSINI.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 “Maandishi yenyewe ni: ‘MENE, MENE, TEKELI, PARSINI.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 “Maandishi yenyewe ni: ‘MENE, MENE, TEKELI, PARSINI.’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 “Haya ndio maneno yaliyoandikwa: mene, mene, tekeli, na peresi

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 “Haya ndiyo maneno yaliyoandikwa: mene, mene, tekeli na peresi

Tazama sura Nakili

Swahili Roehl Bible 1937

25 Nayo haya maandiko yaliyoandikwa hapa ni kwamba: Mene, Mene, Tekel, U-parsin

Tazama sura Nakili




Danieli 5:25
10 Marejeleo ya Msalaba  

Barua kutoka nabii Eliya ilimjia, ikisema, BWANA, Mungu wa Daudi baba yako, asema hivi, Kwa kuwa hukuziendea njia za Yehoshafati baba yako, wala njia za Asa mfalme wa Yuda;


Fahari yako imeshushwa hadi kuzimu, Na sauti ya vinanda vyako; Funza wametandazwa chini yako, Na vidudu vinakufunika.


Kwa sababu hiyo uovu utakupata; wala hutaweza kuuagua; na msiba utakuangukia; hutaweza kuuondoa; na ukiwa usioujua utakupata kwa ghafla.


Na mataifa yote watamtumikia yeye, na mwanawe, na mwana wa mwanawe, hata utakapowadia wakati wa nchi yake mwenyewe, ndipo mataifa mengi na wafalme wakuu watamtumikisha yeye.


Ndipo kile kiganja cha ule mkono kikaletwa kutoka mbele zake, na maandiko haya yameandikwa.


Na tafsiri ya maneno haya ni hii; MENE, Mungu ameuhesabu ufalme wako na kuukomesha.


Je! Hawatainuka ghafla wao watakaokuuma, hawataamka wao watakaokusumbua, nawe utakuwa mateka kwao?


Amefanya nguvu kwa mkono wake; Amewatawanya walio na kiburi katika mawazo ya mioyo yao;


Lakini Mungu akamwambia, Mpumbavu wewe, usiku huu wa leo wanataka roho yako! Na vitu ulivyojiwekea tayari vitakuwa vya nani?


Tena pamoja na wewe BWANA atawatia Israeli mikononi mwa Wafilisti; hata na kesho wewe na wanao mtakuwapo pamoja nami; tena BWANA atawatia jeshi la Israeli pia mikononi mwa Wafilisti.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo