Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Danieli 5:24 - Swahili Revised Union Version

24 Ndipo kile kiganja cha ule mkono kikaletwa kutoka mbele zake, na maandiko haya yameandikwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Basi, Mungu ametuma mkono uandike maandishi haya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Basi, Mungu ametuma mkono uandike maandishi haya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Basi, Mungu ametuma mkono uandike maandishi haya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Kwa hiyo ameutuma mkono ule ulioandika maneno.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Kwa hiyo ameutuma mkono ule ulioandika maneno.

Tazama sura Nakili

Swahili Roehl Bible 1937

24 Kwa hiyo ukatumwa naye huo mgongo wa mkono na haya maandiko yaliyoandikwa hapa.

Tazama sura Nakili




Danieli 5:24
2 Marejeleo ya Msalaba  

Na maandiko yaliyoandikwa ni haya; MENE, MENE, TEKELI, NA PERESI.


Saa iyo hiyo vikatokea vidole vya mkono wa mwanadamu, vikaandika katika chokaa ya ukuta wa nyumba ya enzi ya mfalme, mahali palipokielekea kinara; naye mfalme akakiona kiganja cha ule mkono ulioandika.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo