Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Danieli 2:36 - Swahili Revised Union Version

Hii ndiyo ile ndoto, nasi tutaihubiri tafsiri yake mbele ya mfalme.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Hiyo ndiyo ndoto yako, ee mfalme. Na sasa tutakupa maana yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Hiyo ndiyo ndoto yako, ee mfalme. Na sasa tutakupa maana yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Hiyo ndiyo ndoto yako, ee mfalme. Na sasa tutakupa maana yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Hii ndio ilikuwa ndoto, nasi sasa tutamfasiria mfalme.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Hii ndiyo iliyokuwa ndoto, nasi sasa tutamfasiria mfalme.

Tazama sura

Swahili Roehl Bible 1937

Hii ndiyo ndoto, sasa tumwambie mfalme nayo maana yake:

Tazama sura
Tafsiri zingine



Danieli 2:36
4 Marejeleo ya Msalaba  

Yusufu akamwambia, Tafsiri yake ndiyo hii. Matawi matatu ni siku tatu.


Yusufu akajibu, akasema, Tafsiri yake ndiyo hii Nyungo tatu ni siku tatu.


Wewe, Ee Mfalme, uliona, na tazama, sanamu kubwa sana. Sanamu hii, iliyokuwa kubwa sana, na mwangaza wake mwingi sana, ilisimama mbele yako; na umbo lake lilikuwa la kutisha.