Danieli 2:31 - Swahili Revised Union Version31 Wewe, Ee Mfalme, uliona, na tazama, sanamu kubwa sana. Sanamu hii, iliyokuwa kubwa sana, na mwangaza wake mwingi sana, ilisimama mbele yako; na umbo lake lilikuwa la kutisha. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 “Katika ndoto yako, ee mfalme, uliona sanamu kubwa, yenye nguvu na iliyongaa sana, imesimama mbele yako. Sanamu hiyo ilikuwa ya kutisha mno. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 “Katika ndoto yako, ee mfalme, uliona sanamu kubwa, yenye nguvu na iliyongaa sana, imesimama mbele yako. Sanamu hiyo ilikuwa ya kutisha mno. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 “Katika ndoto yako, ee mfalme, uliona sanamu kubwa, yenye nguvu na iliyong'aa sana, imesimama mbele yako. Sanamu hiyo ilikuwa ya kutisha mno. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 “Ee mfalme, ulitazama, na mbele yako ilisimama sanamu kubwa mno, iliyong’aa kupita kiasi na yenye kutisha kwa mwonekano wake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 “Ee mfalme, ulitazama, na mbele yako ilisimama sanamu kubwa, kubwa mno kupita kiasi, sanamu iliyong’aa na kutisha kwa kuonekana kwake. Tazama suraSwahili Roehl Bible 193731 Wewe mfalme ulikuwa ukiota, mara ukaona kinyago kimoja. Kinyago hicho kilikuwa kikubwa sana, kikametuka kabisa, kikasimama mbele yako, kikatia woga kwa kutazamwa tu. Tazama sura |