Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Timotheo 4:4 - Swahili Revised Union Version

nao watajiepusha wasisikie yaliyo kweli, na kuzigeukia hadithi za uongo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watakataa kuusikia ukweli, watageukia hadithi za uongo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watakataa kuusikia ukweli, watageukia hadithi za uongo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watakataa kuusikia ukweli, watageukia hadithi za uongo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Watakataa kusikiliza kweli na kuzigeukia hadithi za uongo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watakataa kusikiliza kweli na kuzigeukia hadithi za uongo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

nao watajiepusha wasisikie yaliyo kweli, na kuzigeukia hadithi za uongo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Timotheo 4:4
13 Marejeleo ya Msalaba  

Maana kurudi nyuma kwao wajinga kutawaua, Na kufanikiwa kwao wapumbavu kutawaangamiza.


wawaambiao waonaji, Msione; na manabii, Msitoe unabii wa mambo ya haki, tuambieni maneno laini, hubirini maneno yadanganyayo;


Lakini hao walikataa kusikiliza, wakageuza bega lao, wakaziba masikio yao ili wasisikie.


Maana mioyo ya watu hawa imekuwa mizito, Na kwa masikio yao hawasikii vema, Na macho yao wameyafumba; Wasije wakaona kwa macho yao, Wakasikia kwa masikio yao, Wakaelewa kwa mioyo yao, Wakaongoka, nikawaponya.


Wakapiga kelele kwa sauti kuu, wakaziba masikio yao, wakamrukia kwa nia moja,


Kwa hiyo Mungu anawaletea upotevu mwingi, wauamini uongo;


wala wasiangalie hadithi na nasaba zisizo na kikomo, zinazozua maswali wala si mpango wa Mungu ulio katika imani; basi uwaambie hivyo.


Bali hadithi za kale, zisizokuwa za dini, uzikatae; nawe ujizoeze kupata utauwa.


Ee Timotheo, ilinde hiyo amana; ujiepushe na mazungumzo yasiyo ya kimungu, yasiyo na maana, na mashindano ya elimu iitwayo elimu kwa uongo;


Waijua habari hii, ya kuwa wote walio wa Asia waliniepuka, ambao miongoni mwao wamo Figelo na Hermogene.


wasisikilize hadithi za Kiyahudi, wala maagizo ya watu waukataao ukweli.


Neema na iwe nanyi nyote.


Maana hatukufuata hadithi zilizotungwa kwa werevu, tulipowajulisha ninyi nguvu zake Bwana wetu Yesu Kristo na kuja kwake; bali tulikuwa tumeuona wenyewe ukuu wake.