Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Timotheo 4:4 - Swahili Revised Union Version

4 nao watajiepusha wasisikie yaliyo kweli, na kuzigeukia hadithi za uongo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Watakataa kuusikia ukweli, watageukia hadithi za uongo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Watakataa kuusikia ukweli, watageukia hadithi za uongo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Watakataa kuusikia ukweli, watageukia hadithi za uongo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Watakataa kusikiliza kweli na kuzigeukia hadithi za uongo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Watakataa kusikiliza kweli na kuzigeukia hadithi za uongo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 nao watajiepusha wasisikie yaliyo kweli, na kuzigeukia hadithi za uongo.

Tazama sura Nakili




2 Timotheo 4:4
13 Marejeleo ya Msalaba  

Maana kurudi nyuma kwao wajinga kutawaua, Na kufanikiwa kwao wapumbavu kutawaangamiza.


wawaambiao waonaji, Msione; na manabii, Msitoe unabii wa mambo ya haki, tuambieni maneno laini, hubirini maneno yadanganyayo;


Lakini hao walikataa kusikiliza, wakageuza bega lao, wakaziba masikio yao ili wasisikie.


Maana mioyo ya watu hawa imekuwa mizito, Na kwa masikio yao hawasikii vema, Na macho yao wameyafumba; Wasije wakaona kwa macho yao, Wakasikia kwa masikio yao, Wakaelewa kwa mioyo yao, Wakaongoka, nikawaponya.


Wakapiga kelele kwa sauti kuu, wakaziba masikio yao, wakamrukia kwa nia moja,


Kwa hiyo Mungu anawaletea upotevu mwingi, wauamini uongo;


wala wasiangalie hadithi na nasaba zisizo na kikomo, zinazozua maswali wala si mpango wa Mungu ulio katika imani; basi uwaambie hivyo.


Bali hadithi za kale, zisizokuwa za dini, uzikatae; nawe ujizoeze kupata utauwa.


Ee Timotheo, ilinde hiyo amana; ujiepushe na mazungumzo yasiyo ya kimungu, yasiyo na maana, na mashindano ya elimu iitwayo elimu kwa uongo;


Waijua habari hii, ya kuwa wote walio wa Asia waliniepuka, ambao miongoni mwao wamo Figelo na Hermogene.


wasisikilize hadithi za Kiyahudi, wala maagizo ya watu waukataao ukweli.


Neema na iwe nanyi nyote.


Maana hatukufuata hadithi zilizotungwa kwa werevu, tulipowajulisha ninyi nguvu zake Bwana wetu Yesu Kristo na kuja kwake; bali tulikuwa tumeuona wenyewe ukuu wake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo