Zekaria 7:11 - Swahili Revised Union Version11 Lakini hao walikataa kusikiliza, wakageuza bega lao, wakaziba masikio yao ili wasisikie. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 “Lakini watu walikataa kunisikiliza, wakakaidi na kuziba masikio yao ili wasisikie. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 “Lakini watu walikataa kunisikiliza, wakakaidi na kuziba masikio yao ili wasisikie. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 “Lakini watu walikataa kunisikiliza, wakakaidi na kuziba masikio yao ili wasisikie. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 “Lakini wakakataa kusikiliza, wakanipa kisogo kwa ukaidi na kuziba masikio yao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 “Lakini wakakataa kusikiliza, wakanipa kisogo kwa ukaidi na kuziba masikio yao. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 Lakini hao walikataa kusikiliza, wakageuza bega lao, wakaziba masikio yao ili wasisikie. Tazama sura |
ila wakakataa kutii, wala hawakuyakumbuka maajabu yako, uliyoyafanya kati yao; lakini wakafanya shingo zao kuwa ngumu, na katika kuasi kwao wakaweka jemadari, ili wairudie hali ya utumwa; lakini wewe u Mungu, uliye tayari kusamehe, mwenye neema, mwenye huruma nyingi, si mwepesi wa hasira, u mwingi wa rehema, basi hukuwaacha.
Pia niliwatuma watumishi wangu wote, manabii, kwenu ninyi, nikiwatuma pasipo kukoma, nikisema, Rudini sasa, kila mtu na aiache njia yake mbaya, mkatengeneze matendo yenu, wala msiifuate miungu mingine, ili kuitumikia, nanyi mtakaa katika nchi hii, niliyowapa ninyi na baba zenu; lakini hamkutega masikio yenu, wala hamkunisikiliza.