Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 23:28 - Swahili Revised Union Version

na Salmoni, Mwahohi, na Maharai, Mnetofathi;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Salmoni, Mwahohi; Maharai, Mnetofathi;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Salmoni, Mwahohi; Maharai, Mnetofathi;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Salmoni, Mwahohi; Maharai, Mnetofathi;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Salmoni Mwahohi; Maharai Mnetofathi;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Salmoni, Mwahohi; Maharai, Mnetofathi;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na Salmoni, Mwahohi, na Maharai, Mnetofathi;

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 23:28
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha, wakuu wote wa majeshi, wao na watu wao, waliposikia kwamba mfalme wa Babeli amemweka Gedalia kuwa mtawala, wakamwendea Gedalia huko Mispa; nao ni hawa, Ishmaeli mwana wa Nethania, na Yohana mwana wa Karea, na Seraya mwana wa Tanhumethi Mnetofa, na Yezania mwana wa Mmaaka, wao na watu wao.


Maharai Mnetofathi, Heledi mwana wa Baana Mnetofathi;


Kamanda wa kumi wa mwezi wa kumi alikuwa Maharai, Mnetofathi, wa Wazera; na katika zamu yake walikuwa watu elfu ishirini na nne.


na Abishua, na Naamani, na Ahoa;


Watu wa Netofa, hamsini na sita.


Watu wa Bethlehemu na Netofa, mia moja na themanini na wanane.


ndipo wakamwendea Gedalia huko Mizpa; nao ni hawa, Ishmaeli, mwana wa Nethania, na Yohana na Yonathani, wana wa Karea, na Seraya, mwana wa Tanhumethi, na wana wa Efai, Mnetofa, na Yezania, mwana wa Mmaaka, wao na watu wao.