Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 23:27 - Swahili Revised Union Version

27 na Abiezeri, Mwanathothi, na Sibekai, Mhushathi;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Abiezeri, Mwanathothi; Mebunai, Mhushathi;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Abiezeri, Mwanathothi; Mebunai, Mhushathi;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Abiezeri, Mwanathothi; Mebunai, Mhushathi;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Abiezeri kutoka Anathothi; Mebunai Mhushathi;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Abiezeri kutoka Anathothi; Mebunai, Mhushathi;

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

27 na Abiezeri, Mwanathothi, na Sibekai, Mhushathi;

Tazama sura Nakili




2 Samueli 23:27
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa baada ya hayo, kulikuwa na vita tena na Wafilisti huko Gobu; ndipo Sibekai, Mhushathi, alipomwua Safu, aliyekuwa mmoja wa Warefai.


akasema, Mungu wangu apishe mbali, nisifanye hivi; je! Ninywe damu ya watu hao waliohatarisha nafsi zao? Maana kwa hatari ya nafsi zao wameyaleta. Kwa hiyo hakukubali kuyanywa. Hayo ndiyo waliyoyafanya wale mashujaa watatu.


Ira mwana wa Ikeshi Mtekoi, Abiezeri Mwanathothi;


Kamanda wa tisa wa mwezi wa tisa alikuwa Abiezeri, Mwanathothi, wa Wabenyamini; na katika zamu yake walikuwa watu elfu ishirini na nne.


na Anathothi pamoja na mbuga zake za malisho, na Almoni pamoja na mbuga zake za malisho; miji minne.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo